Ndugu Kato Bandio in BISMARK ROCKS Mwanza. |
Karibuni sana kwenye Blog hii, kutakuwa na mengi mazuri ya kujadili pamoja nanyi. Natumai yatakuwepo mengi yahusuyo jamii zaidi, na zaidi maisha halisi ya kuigiza tunayoishi sasa na natumai kupitia kijiwe hiki tutaweza kutafuta suluhisho pamoja ama kwa kutoa mapendekezo yatakayoleta mabadiliko kwa mtu mmoja mmoja ama jamii kwa ujumla. Karibuni Kijiweni wapendwa na Mungu atusaidie wote. PamoJAH Daima
Pongeki mingi sana na Inshalla MOla na akuzidishie kila uchao
ReplyDeleteMbona tulishakaribia?
ReplyDeleteHaya lete "kyakulya" sasa
kyakulya hikyo hapo, na hiyo ni Gichwa bado jenyewe
ReplyDelete