Sunday 30 October 2016

UJIO MPYA

Awali ya yote nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniweka hai na kunipa nguvu. Ni kitambo sasa tokea nimetoka kijiweni na leo nimeona ni vema nirudi nikiwa na meengi ya kujadili na kushirikiana nanyi katika kuikuza na kuindeleza jamii yetu.
Awali nimekuwa najadili mambo kadha wa kadha yahusuyo Siasa na jamii lakini kwa sasa nitakuwa nagusia zaidi katika mambo yahusuyo "Jamii na afya ya Jamii". Lakini kabla ya kuanza nipende kwanza Kuwashukuru Familia, Ndugu Jamaa na Marafiki kwa uwezo wenu na michango yenu iliyoniwezesha kuwa hivi nilivyo leo hii. Kipekee nimshukuru Mke wangu mpendwa Nancy N. Bandio kwa kuwa na imani  namikatika meengi sana niliyopitia kufika hapa. Umekuwa kielelzo kikubwa cha mafanikio yangu na nipende kukushukuru kwa kunipenda.

Nakupenda sana Mama

Kwa kukeleza wewe hapatoshi lakini nizidi kuomba ushirikiano wenu wadau pia kila mwana afya ili tuweze kuelimishana meengi yahusuyo afya zetu ili kuwa na tanzania njema yenye kizazi chenye afya na maadili mema.


Tuko pamoja

No comments:

Post a Comment